Alhamisi, 14 Mei 2015

KOCET 2014 RE-UNION

LONG LIVE KOCET...!!
KOCET RE UNION 2014
Waliokuwa wanachuo wa chuo cha ualimu Korogwe TTC; Machi 2015 walikutana kwa party ya get together.
Ni utamaduni wa wanachuo hao kukutana kila mwaka kwa party na kubadilishana mawazo na kujipangia mikakati mbalimbali kwa faida ya chuo chao.

Wanachuo hao walikutana katika club ya Calabash iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa wanachuo waliohudhuria ni Mohamed Rajabu Tengerusa, Edward Emmanuel, Maria Mbotto, Julius Frank, Hajira Mmambe, Erick Shartiel Mturuki, Hilda Arch, Kaleb, Michael Onesmo OJ, Verediana Kajala VDK, Agatha, Hasan Dassi na wengineo wengi.

watu walikunywa, wakala,wakacheza muziki, wakabadilishana mawazo, wakakumbuka amisha ya chuo miaka ileee... hakika ilipendeza. 





Mwaka 2013 Re Union kama hiyo ilifanyika pale Landmark Hotel mitaa ya Ubungo. Hii ilihudhuriwa na watu wachache kama wanavyoonekana hapo chini pichani....




Mwaka 2012 ilifanyika tena pale Landmark hotel na ilikuwa kama hivi












Maoni 0:

Chapisha Maoni

Jisajili kwenye Chapisha Maoni [Atom]

<< Nyumbani